Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndiyo andaziHapo vipi? Nani Andazi?View attachment 2638371
We kwa mpira ule mliopigiwa hiyo nafasi unaiona kweli?Yah ,kisoka nyeupe kabisa kumbuka Liver vs Ac milan final UEFA Pamoja na matukio mengi ya kisoka uzuri Yanga sio Kolo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amka weeeyanga daima mbele nyuma mwiko itaenda algeria kupindua meza kibabe ugenini na kuchukua kombe kwenye ardhi ya waarabu
nasikia mmoja hatunaye ka pass away uwanjani wakati wakutokaWaliingia Kwa kuvunja mageti natamni kjua wameondokaje😀😀
Eti eeehUshindi upo pale pale 😆
Wacha tuchapwe tu, mapicha ya mama wa kizanzibari yalikuwa yanasaidia nini kwenye mchezo?Leo ndio leo hatimaye imefika siku muhimu kwa wapenda soka barani Africa.
Ni fainali ya mkondo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Africa kwa msimu wa 2022/2023 kati ya Yanga na USM Algerz Mechi hii itachezwa mnamo saa 10 jioni kwa saa za Africa mashariki kwenye dimba la Benjamin Mkapa.
Timu hizi katika historia zimeingia fainali kwa mara ya kwanza, na pia ziliwahi kukutana kwenye msimu wa 2018 ambapo Yanga alifungwa kwa hiyo mechi hii inaweza kuwa ya kisasi
Nini kitatokea?
Karibuni kwa live updates kuanzia mwanzo, kati na hata mwisho wa mtanange huu muhimu!
Kwa wanaofuatilia kwenye TV, Azam (ZBC 2) na DSTV ( Chaneli namba225) watarusha mubashara mechi hii.
Mchezo umeanza
2' Mchezo umeanza kwa kasi kubwa, Yanga wanafika langoni kwa wapinzani
3' Tayari timu zote zimepata kona mojamoja
9' Hali ya uwanja ni mvua wachezaji wanateleza mara kwa mara
11' USM Alger wanatupia mpira wavuni lakini tayari mwamuzi anasema ni offside
15' Yanga wanakosa nafasi ya wazi, shuti la Tuisila linadakwa na kipa
18' Mchezo bado una presha kubwa, wanashambuliana kwa zamu
22' Mayele anakosa bao, mpira unapita nukta chache kutoka kwenye mstari wa lango
32' Goooooooooooooooooooo
Aimen Mahious anaipatia USM Alger goli kwa njia ya kichwa
39' Goli walilofungwa Yanga ni kama limewapunguza presha
45' Zinaongezwa dakika 3
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza
46' Yanga wanapata faulo karibu na lango la wapinzani
Shuti kali la Azizi Ki linatoka nje
48' Oussama Chita anapata kadi ya njano kwa kumchezea faulo Azizi Ki
50' USM Alger wanapata kona
58' Adem Alilet wa USM Alger anapata kadi ya njano
62' Yanga wanapata kona, inapigwa inaokolewa
66' Mchezo umesimama wachezaji wawili wa Alger wameumia
70' Yanga wanaendelea kupambana kutafuta goli la kusawazisha
81' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Mayele anafunga goli zuri akimalizia pasi ya kichwa ya Mudathiri
83' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
USM Alger wanafunga goli la pili kupitia kwa Islam Merili
90' Zinaongezwa dakika 10
FULL TIME
.Mzee Mgunda kafurahi sana
UKIPEWA YANGA NA ANDAZI UTACHAGUA NN[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Waambie warud kwao haraka wakajiandae kupokea magoal ya wanaumeNa hiyo ndio USM ALGER
Na kuna habari wachezaji wamesusa kuondoka uwanjani wakijutia ushindi mwembamba tena wakiruhusu bao
Leo tuna furaha sana mji umepoaHata mimi nilijua ww ni mwanaume unipe...maana wanawake siwapendagi..
Duhnasikia mmoja hatunaye ka pass away uwanjani wakati wakutoka
𝐍𝐚𝐟𝐢𝐤𝐢𝐫𝐢 𝐳𝐢𝐥𝐞 𝐧𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐚𝐣𝐢𝐥𝐢 𝐲𝐚 𝐇𝐚𝐦𝐚𝐬𝐚Wacha tuchapwe tu, mapicha ya mama wa kizanzibari yalikuwa yanasaidia nini kwenye mchezo?
Watani zetu hawa mkuu tuwaombee kheri, mie nawaombea kheriHuko sio ugenini kwa timu inayoshuka daraja
Naona unaquote sana...umevurugwa na mimi au??Nikuache kwani we ni Mama Watoto wangu nakupa talaka au?
Mbumbumbu mmevurugwa hatari [emoji38]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
😂😂Kujikuta wawakilishi lol....uwakilishi wa aina hii....watakua wamekwea ukuta 😆 😆