FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Screenshot_20230528-183433_Instagram.jpg


Hahahaaaaa
 
Pale litimu lako linaishia robo... eti una nguvu ya kuicheka timu inayocheza fainali. Zaidi hiyo ni Leg 1 of 2... lolote linaweza kutokea kwenye Final leg 2 of 2.
Tunawaachia uzi, timu mkeshe hapa. Yanga bado ni bingwa wenu wa NBC, mna mengi ya kutolea uchungu leo... tunaelewa.
Alafu fundisheni mashabiki wenu namna ya kuitambua michezo wanayocheza inavyoitwa. Hii michezo mwenzako aliyofika robo sio ambayo wewe ulitolewa?
 
Hahahahahhahahhahahahahahhahahahahhahahahahahhahahabahahahababhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah Andaaazi hili ni picha la kihindi Hahahahahhahahahahahahahahahahahhahahahahahhahahahahahahahahahhahahababhahahhahahahahahahah1-2 hahahahahahahahahhahahahahahhhahahahhahahahahahaha Mgundaaaaa hahahahahahahahahahhahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahhah
 
Vibonde umecheza nao miaka 5 umeeashindwa mpk ulipoamua kuunguza viwanja vya watu,hii ni yanga usisahau
Nicheze na Rivers, Tp Mazembe ya Mukoko tunombe, halafu nisifike fainali?

Hao waarabu niambie ni wakubwa kuwazidi Al Ahly?

Lini wewe kwenye haya mashindano uliwahi kukutana na mpinzani mkubwa kama Al Ahly mpaka ukafika hii fainali?

Kiukweli muda tu ndio utaongea, na tena nyie mnaosema mna kikosi kizuri ndio mtakaokuja kuongea yote.

Huu upande ambao sisi tunaongea kuhusu nyinyi halafu mnatupinga, itafika muda nyinyi ndio mtasimamia huu upande pale mtapokutana na timu kubwa
 
Nicheze na Rivers, Tp Mazembe ya Mukoko tunombe, halafu nisifike fainali?

Hao waarabu niambie ni wakubwa kuwazidi Al Ahly?

Lini wewe kwenye haya mashindano uliwahi kukutana na mpinzani mkubwa kama Al Ahly mpaka ukafika hii fainali?

Kiukweli muda tu ndio utaongea, na tena nyie mnaosema mna kikosi kizuri ndio mtakaokuja kuongea yote.

Huu upande ambao sisi tunaongea kuhusu nyinyi halafu mnatupinga, itafika muda nyinyi ndio mtasimamia huu upande pale mtapokutana na timu kubwa
Huna uwezo wa kufika yanga alipofika hizi porojo zako ni kujifariji tu,umeshindwa hata kufika fainal ya azam utaweza za caf?
 
Back
Top Bottom