Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu fundisheni mashabiki wenu namna ya kuitambua michezo wanayocheza inavyoitwa. Hii michezo mwenzako aliyofika robo sio ambayo wewe ulitolewa?Pale litimu lako linaishia robo... eti una nguvu ya kuicheka timu inayocheza fainali. Zaidi hiyo ni Leg 1 of 2... lolote linaweza kutokea kwenye Final leg 2 of 2.
Tunawaachia uzi, timu mkeshe hapa. Yanga bado ni bingwa wenu wa NBC, mna mengi ya kutolea uchungu leo... tunaelewa.
Kilichowaponza Yanga ni midomo. Ukiona Kwa Mkapa mvua inanyesha ukue hiyo mechi Simba wamesharoga.Wachawi wengi mjini hapa wananchi tuweni makini.
wenyewe huku leo wamepewa dakika 100 na bado wakatandikwa wamelowaaaaWananchi bado mnazo dakika 90 za kujiuliza ugenini, wishing you all the best.
Mumekeketwa live bila chengaMbumbumbu akiichambua Yanga FC baada ya kula kichapo toka kwa Azam FC View attachment 2638359
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nicheze na Rivers, Tp Mazembe ya Mukoko tunombe, halafu nisifike fainali?Vibonde umecheza nao miaka 5 umeeashindwa mpk ulipoamua kuunguza viwanja vya watu,hii ni yanga usisahau
yanga daima mbele nyuma mwiko itaenda algeria kupindua meza kibabe ugenini na kuchukua kombe kwenye ardhi ya waarabu
Anakenua kenuaAziza kei kafanyaje tena
Gongowazi wamemtoa kafara,wabaya sana
Huna uwezo wa kufika yanga alipofika hizi porojo zako ni kujifariji tu,umeshindwa hata kufika fainal ya azam utaweza za caf?Nicheze na Rivers, Tp Mazembe ya Mukoko tunombe, halafu nisifike fainali?
Hao waarabu niambie ni wakubwa kuwazidi Al Ahly?
Lini wewe kwenye haya mashindano uliwahi kukutana na mpinzani mkubwa kama Al Ahly mpaka ukafika hii fainali?
Kiukweli muda tu ndio utaongea, na tena nyie mnaosema mna kikosi kizuri ndio mtakaokuja kuongea yote.
Huu upande ambao sisi tunaongea kuhusu nyinyi halafu mnatupinga, itafika muda nyinyi ndio mtasimamia huu upande pale mtapokutana na timu kubwa
Hongera mtani kwa kuchukua kombe lingine la USM ALGERUkiniwekea Yanga na Andazi, nachagua mfuko uliobebea maandazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wacha tuchapwe tu, mapicha ya mama wa kizanzibari yalikuwa yanasaidia nini kwenye mchezo?
Azizi Ki kapiga kona kama mia saba hivi lakini mipira 80% waliokuwa wakwanza kuicheza walikuwa ni USM ALGERWaambie warud kwao haraka wakajiandae kupokea magoal ya wanaume
Andaz lilishatolewa kweny roboUkiniwekea Yanga na Andazi, nachagua mfuko uliobebea maandazi.