FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Yah ,kisoka nyeupe kabisa kumbuka Liver vs Ac milan final UEFA Pamoja na matukio mengi ya kisoka uzuri Yanga sio Kolo.
We kwa mpira ule mliopigiwa hiyo nafasi unaiona kweli?

Hapa nikizungumzia mchezaji aliuesabisha mfungwr bao 2 ni Diarra, bila huyo mlikuwa mnakufa hata 4 leo
 
Wacha tuchapwe tu, mapicha ya mama wa kizanzibari yalikuwa yanasaidia nini kwenye mchezo?
 
Na hiyo ndio USM ALGER

Na kuna habari wachezaji wamesusa kuondoka uwanjani wakijutia ushindi mwembamba tena wakiruhusu bao
Waambie warud kwao haraka wakajiandae kupokea magoal ya wanaume
 
Wacha tuchapwe tu, mapicha ya mama wa kizanzibari yalikuwa yanasaidia nini kwenye mchezo?
𝐍𝐚𝐟𝐒𝐀𝐒𝐫𝐒 𝐳𝐒π₯𝐞 𝐧𝐒 𝐀𝐰𝐚 𝐚𝐣𝐒π₯𝐒 𝐲𝐚 π‡πšπ¦πšπ¬πš
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…