Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Hamna kituJina tu na kupandisha bukta kenge huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kituJina tu na kupandisha bukta kenge huyu
Umesema kweli tupu...Hii ndio timu nzuri ya kwanza utopolo wamekutana nayo kwenye haya mashindano angalia wanavyotaabika
Uto bado hana uwezo wa kupambana na magiant kama Ahly na Wydad, ataenda tu kuaibishwa huko, hii shirikisho kwa sasa ndio level yao.
Mfyuuu [emoji89][emoji89][emoji89][emoji89][emoji34][emoji34][emoji21][emoji21]
Sijakuelewa kwani hakuna timu ngumu iliyowahi kuishia robo au hata makundi mpira umeanza kushabikia lini?Hii ndio timu nzuri ya kwanza utopolo wamekutana nayo kwenye haya mashindano angalia wanavyotaabika
Uto bado hana uwezo wa kupambana na magiant kama Ahly na Wydad, ataenda tu kuaibishwa huko, hii shirikisho kwa sasa ndio level yao.
HakunaHii ngoma inaweza ishia hapa kama
TusubiriKipindi cha pili,Yanga anasawazisha na uwezekano wa kuongeza ni mkubwa.
Aisee.Lakini refa ni mkongo mwenzetuView attachment 2638254
Hii mitandao bana, unaweza ukakuta wewe ndiye Bantu Lady umenijia kivingine ili unipime upepoBantu lady hajambo lakini?
@ki2c hao yanga wanaweza wasipate hata Kona kipindi Cha pili achilia mbali goli.Kipindi cha pili,Yanga anasawazisha na uwezekano wa kuongeza ni mkubwa.
Acheni uchawi mechi bado sana hii.....comeback bado ipo.Maskini Raisi atatoa tena ndege kweli? Kilio Cha mgunda kuitwa Andazi na mjukuu wake
Alhabib alhabib Wahid sufurNI KUJIPIGIA TU LEO HABIB HABIB[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Ipi 🤧RAHAAAA SANAAAAAAA.
Shangilia uone hasira za uto, watadhani unashabikia Waarabu. Hili tatizo lipo katika makuzi ya mtanzania, hatuna utamaduni wa kukubali kuwa tofauti.Mashabiki wamepoa iko wapi faida ya full house?
Leo hii "UFUNGUO" amekuwa avarage, chezaji la mabilioni?Hii mipira ya kizamani mayele aache
Halaf azizi ki Ni very average aisee
[emoji23][emoji23]
Second leg ni lini tupae hadi Algeria
twende tukawapongezee waarabu kwa kidogo hichi
Usimtukane profesa mkuu,si vizuri.Kocha akirudi na Azizi Ki nitamtukania mama yake[emoji35][emoji35]