FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Wanasiasa walipoingilia hii mechi na maneno mengi basi Washatia nuksi kama taifa stars
Kwani Chalamila anacheza namba ngapi ?

Tatizo mliandaa kikosi cha kucheza kwenye jua, mkasahau waarabu nao walikuwa wanaomba mvua inyeshe.. Imenyesha na tumeona panapovuja.
 
Mtani nakupenda all the best mkishinda tunashinda sote mkishindwa mtashindwa wote
Hawa hawana lolote. Walikuwa wanapokea wapinzani wa wenzao Airport.

Kama kufungwa wafungwe tu, kama ni kushinda washinde wao kwa raha zao. Hakuna uzalendo hapo
 
مسنينينينطنيننينينطنظوسويوذكم مورطويويووظنينينبنذطنطنبنبنبنن منطوينينينطنطنينينطنطنينينبنطنينين مننطرينينطنطنينيينينينينيننين DE UTOPOLO [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Kwa dua hii kipindi Cha pili bora uto asiingize timu
 
USM Algers mpira wao wa kiwango kidogo sanaaaa, kwa wanaojua mpira wanajua, ila ukiwa shabiki wa Simba hapa hutajua, mashabiki wa Simba hamna kombe lolote mwaka huu, mnashabikia waarab, nyoko
USM Alger mwenye mpira wa kiwango cha chini tayari amekutungua kwenye uwanja wako wa nyumbani, kiwango chako tukijadili vipi?
 
Yanga inashinda easily hii game, USM Algers haina mpira mkubwa hata kidogo, kiwango cha Yanga kipo juu sana, kwa Half time tumeona jinsi Yanga wamefika mara nyingi mno ktk goli la Algers, dak 45 zilizobakia mtaona moto mkali na Yanga anashinda
Unaota ukiwa wapi
 
Ndyo naandaa Ticket hapa kwa jimama linipe nauli
مبنينيينوطوووصنصمظنظوطويوييويويىيىيىىىىىUJE LODGE BAADAE نينينينيطووطوطوطوطوطو[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Jitahidi akupe hela ndefu , itutoshe wote huko .

tushakuwa waarabu siee 😂😂😂😂 ففغغععهه تتتننمممممسسبتو تيد تتتننمممممسسبتو
 
Back
Top Bottom