Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wanafki wakubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafki wakubwa.
Na bado Bingwa wenu Yanga FC ataendelea sana kuchonga maana tangu 2021 Mbumbumbu hamna kombe lolote zaidi ya kuwa wazururaji tu TZ [emoji28]Leo sitolala. Nina furaha sana. Nina furaha mno. Marehemu alichonga sana.
Mbona Mbumbumbu pia mlikaa miaka minne bila kombe lolote zaidi ya Yanga kutwaa mara 3 mfululizo na Azam mara 1?2017
2018
2019
2020
MISIMU HYO ULKAA BILA KOMBE HATA LA CHAI KIMATAIFA NDYO USISEME KBSA
USM ALGER تستينيميميمييميمييمطىيثمثيمHABIB HABIB
Raja Casablanca alikufanya nini ?Muarabu unae kutana nae wee, tuki kutana nae sie analowaa mengiii.
😂😂😂😂🙌Nashukuru waarabu leo hatujabadili password..😄
Angewapa tu bus tuokoe hela maana kuna wafanyakazi hawajalipwa mishahara yao hadi leo. Wakipita njia ya Kenya, Sudan, Egypt, Libya jumamosi wanaingia Algeria
Hili nalo neno Kimbinyiko moja inawatoshaAngewapa tu bus tuokoe hela maana kuna wafanyakazi hawajalipwa mishahara yao hadi leo. Wakipita njia ya Kenya, Sudan, Egypt, Libya jumamosi wanaingia Algeria
Na nyie huyo Raja ungekutana nae sahivi ungesemajeee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Raja Casablanca alikufanya nini ?
Ningekua Nacheka tuNa nyie huyo Raja ungekutana nae sahivi ungesemajeee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Ndiyo maana nimeingia sahizi nimeteseka, huwa hatuondoki kama vile haturudi tena..!!
Mmewaandama Yanga Jamani[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hili nalo neno Kimbinyiko moja inawatosha
USMA imekulizaa ndo uiwezee Raja??Ningekua Nacheka tu
Mpira umechezwa Jana. Hiyo ni marudio siyo LIVEGooooooooool furaha ya wananchi haijadumuu...ndani ya dkk 3 imetosha waarabu kuindoa furaha yao...da da da da