FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

We fala sana ujue๐Ÿ˜ƒ
 
Waarabu walitamani Mpira uishe kwa jinsi yanga walivyokuwa wana press .
Aziz ki na tuisila walikuwa watazamaji hawakuwa na mchango chanya
Upi ulikuwa mchango wako๐Ÿ˜‚
 
Hivi shabiki wa UTO UNAPATA WAPI NGUVU YA KULALA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Msimu ujao? Kwani huu ilikuwaje ukatoka kule kiumeni licha ya kupangiwa ZALAN FC ambao hata safari ya kurudi kwao tu Sudan walitumia mwezi mmoja njiani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watulie sasa. Mwakani warudi kwenye uhalisia wao wa kuishia hatua za awali ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
Waache ujinga wao kama wamechoshwa na kero walale na sio kutupangia namna gani tushangilie

Simba ilitolewa humu kila mmoja aliona dhihaka zilizofanywa na mashabiki wa Gongowazi

Ikaenda hadi kwa uongozi wa Club ya Yanga eti wakaunda tamasha kwa ajili ya kuicheka Simba.

Watu hawa leo hii ndio wanaotaka kutuziba midomo.

Sheeeeenziiiiiiii
 
Utahira gani huu, vipi kitobo kinauma kwani kwa yanga kuvaa medali?
 
Chekeni basi
 
Vipi wewe ukiyepmbana kupitia vipers,Horoya umechukua nini? Au upo unamtunishia taqo muarabu[emoji28]
Kutochukua kombe, it's a pain in ass kwa wengi wenu maana mlikuwa na kiranga sana.


Mimi sina shida zaidi ya kufurahi tu, sina baya.
 
ู…ุณูŠูˆูŠูˆูŠู†ู†ุจู†ุจู†ุจู†ุจุจู†ุจู†ุฐู†ู†ุฐูˆุฐูˆุฐูˆูŠูˆKUFA KIUME FAINAL[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ