Kama fainali ingekuwa moja ndo safari ingeishia hapa afadhali imepigwa ya pili mmeonyesha kuwa mliteleza Huku kwenu.Sheria za kijinga sana hizi ndo maana wenzetu waliondoa huu upuuzi.
Fainali iwe moja tu.
Africa aisee imekaa kipigaji sana aisee
We fala sana ujue๐Ngoja nikuweke wazi pengine hukupata bahati ya kusoma nilichokiandika kwenye uzi fulani.
Ni kwamba hivi
Mwaka jana kwenye kombe la dunia isingewezekana kwa mimi kufika hadi fainali kama ningekuwa nashabikia timu moja.
Kushabikia timu moja ni too risk unaweza ukakosa kila kitu.
Kwa kulijua hilo sasa nikuanbie tu, huko majuu nina kalabao nishaweka kabatini.
Hapa Afrika tayari leo nimepata kombe.
Kwa hiyo kukosa kwako wewe ubingwa dhidi ya USM ALGER hauwezi ukatumia hoja ya mimi kukosa ubingwa kama niia ya kujipatia furaha.
Na hii itawahitaji mchukue miaka 30 mingine mje mfike hatua kama hii.
Upi ulikuwa mchango wako๐Waarabu walitamani Mpira uishe kwa jinsi yanga walivyokuwa wana press .
Aziz ki na tuisila walikuwa watazamaji hawakuwa na mchango chanya
Msimu ujao? Kwani huu ilikuwaje ukatoka kule kiumeni licha ya kupangiwa ZALAN FC ambao hata safari ya kurudi kwao tu Sudan walitumia mwezi mmoja njiani?Sasa ww CAFCC si bingwa wa kushiriki Mwakarobo,hufiki popote unaishia robo na hata ukija huku confederation unaishia robo.
Ngojea mwanaume msimu ujao nakuja huko kukupa shule.
Nyie endeleni kwasajili wakina Sawadogo na akina Okwa,huku mkiletewa muowaone wachezaji wazuri kwenye mikutano yenu kama wasimamizi wa uchaguzi.
Mimi hata huko CAFCC nikifika robo mtanikamatia fainali.
Waache ujinga wao kama wamechoshwa na kero walale na sio kutupangia namna gani tushangilieWatulie sasa. Mwakani warudi kwenye uhalisia wao wa kuishia hatua za awali ๐คฃ๐๐คฃ
Hehehee..halooooooooUnakuta Kuna kijanaume nacho kinasimama kinashangilia USMA kuchukua kombe huku kimelowa kimoko ๐ ๐ , afu ukikiuliza haya USM amechukua vipi wewe una nini kwenye kabatini ni tobo tu.
Utahira gani huu, vipi kitobo kinauma kwani kwa yanga kuvaa medali?Ngoja nikuweke wazi pengine hukupata bahati ya kusoma nilichokiandika kwenye uzi fulani.
Ni kwamba hivi
Mwaka jana kwenye kombe la dunia isingewezekana kwa mimi kufika hadi fainali kama ningekuwa nashabikia timu moja.
Kushabikia timu moja ni too risk unaweza ukakosa kila kitu.
Kwa kulijua hilo sasa nikuanbie tu, huko majuu nina kalabao nishaweka kabatini.
Hapa Afrika tayari leo nimepata kombe.
Kwa hiyo kukosa kwako wewe ubingwa dhidi ya USM ALGER hauwezi ukatumia hoja ya mimi kukosa ubingwa kama niia ya kujipatia furaha.
Na hii itawahitaji mchukue miaka 30 mingine mje mfike hatua kama hii.
Timu bora inacheza shirikisho na huko pia wanaishiaa kubwa loosersBado itabaki kuwa YANGA ni timu bora afrika mashariki na kati..
Nchi imekuwa kimya sanaHahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu tukishinda mtafute chochoro ya kujificha
๐๐๐๐๐๐๐Watulie sasa. Mwakani warudi kwenye uhalisia wao wa kuishia hatua za awali ๐คฃ๐๐คฃ
Naomba upuuzwe ndugu nguvuSimba kaishia robo kapewa 1.1b
Nikiripoti kutoka uwanja wa July 5 ni mimi Mahious wa USM ALGERAljazeera, bbc, .etc no report on this finale
Chekeni basiWaache ujinga wao kama wamechoshwa na kero walale na sio kutupangia namna gani tushangilie
Simba ilitolewa humu kila mmoja aliona dhihaka zilizofanywa na mashabiki wa Gongowazi
Ikaenda hadi kwa uongozi wa Club ya Yanga eti wakaunda tamasha kwa ajili ya kuicheka Simba.
Watu hawa leo hii ndio wanaotaka kutuziba midomo.
Sheeeeenziiiiiiii
Kutochukua kombe, it's a pain in ass kwa wengi wenu maana mlikuwa na kiranga sana.Vipi wewe ukiyepmbana kupitia vipers,Horoya umechukua nini? Au upo unamtunishia taqo muarabu[emoji28]
Kama hujaelewa sio lazima uchangieUpi ulikuwa mchango wako๐