Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila zile sheria za magoli ya kichawi zifutweFainali iendelee kuwepo mara mbili kila mtu apate vibe la kwao...ukishindwa kutumia uwanja wako uliwe kichwa hahahhahahh
mechi inaanza kuwa ngumu sasa kwa Mafarao wameruhusu goli.Goli zuriii
Kama wanakipimo cha uchawi walete sheriaIla zile sheria za magoli ya kichawi zifutwe
Nashangaa,yaani watu wanaumia kisa yanga kucheza fainaliUzi umejaa mipasho jamani kuna watu bado wana maumivu sana😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Kwakweli hapo ndo ujue kuna ubora na ubora..Wanheshindwa kufunga na hapa ningewaona wabovu kama Yanga
Kuna maboya humu wanajipa moyo kua ni timu nzuri kisa walipigiana penaltiesWydad timu ya kijinga saana kama Arsenal tu
Sawa mzee wa nyama roboUtopolo na mpira wao wa kitoto kukamia na kukimbizana bila mipango hawana quality ya kucheza na hizi timu.
Saizi ya utopolo united ni Marumo na rivers![emoji23]
???68'
Goooooooooooal
Wydad wanaandika bao la pili baada ya uzembe wa kipa kutoka kwenda kukaba mpira na kuliacha lango.
Kipa kapigwa chenga ikapigwa pasi ikamkuta muuaji kafumua shuti kali na kuandika bao la pili.
Huu uzembe huwezi kuuona anafanya Diarra
Hatari na nusuHuyu Percy Tau hatari sana