wined
JF-Expert Member
- Nov 1, 2015
- 2,294
- 2,781
Wamepigwa na butwaah!Moderators hawajui watende nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Simba akirudisha utaona update ya hypersonic speed
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamepigwa na butwaah!Moderators hawajui watende nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Imeisha hioGame On
Dak 48"
Simba SC 0 - 1 Power Dynamos
(2-3 on Aggregate)
🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inauma sana
Umewaza km Mimi vile huko matumbo jotoWamepigwa na butwaah!
Simba akirudisha utaona update ya hypersonic speed
Uwe unatuwekea updates za magoliFree Kick
Be careful unaweza chezea ban la 1 week kimasihara 😂Pengine ila najua wapo maana nimejaribu kuanzisha uzi usio na kichwa wala miguu wamepita nao chap. Wapo aisee!
Wagonjwa wa BP wataongezaka nchiniImeisha hio
Aggregate 2-4
FT
Pole mkuu. I can feel your pain. Jikaze kiume!Tunacheza kama Tunaogopa sijui nini mpira hautulii...Yaaani wachezaji wako na anxiety utadhania wanacheza na Barca au Real Madrid kumbe wanacheza na Power Dynamo tu Yaaani huu ni upuuzi
Hakuna Formula ya Uchezaji na tumefanya uwekezaji mkubwa kwenye Wachezaji lakini Zero kabisa...
Lile sio Goal la kufungwa kipa mzembe (Sasa huyu ndo kipa wa Bil.3 Kweli...
Kuna mambo Huwa yanauma na kukera sana...
Tukiendelea na mchezo tuliocheza First Half sioni tukitoboa...
Ni mpuuzi tu ndo anaweza kuvumilia haya machungu na huu ujinga tunaofanyiwa hapa
#Nguvu Moja
Asante sanaGame On
Dak 51"
Simba SC 0 - 1 Power Dynamos
(2-3 on Aggregate)
Mods wa jf wamegoma kuweka mkuuKweli niko maporini na mtandao ni wa kusuasua kweli. Mpaka sasa matokeo yakoje?
Upo misungwi sehemu gani?Basi muwe mna-update matokeo mara kwa mara ili hata sisi tulioko huku Misungwi angalau tujue kinachoendelea