Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lini yanga mbovu iliwahi kuingia makundi? Simba hata ikiwa mbovu inacheza makundiYes. Ni kanuni FC. Uwezo wa kumaliza game uwanjani hamna.
Nabi akitupiwa virago na Rabat tumnase.Tatizo la Simba Sc ni kocha, sio kikosi.
Umeona eee...yani kivyovyote vile ilishaandikwa na nilishaiona...
Yeah!...hili linawezekana kabisa.IPO SIKU SIMBA NA YANGA WATACHEZA FAINALI CAFCL
Moja ya mkakati ni kuchuku makomne yote ya ndani.Mnaweka wapi mikakati mikubwa sasa maana huko mnakoeka hamjawahi kukaa kufanikiwa.
Upo jirani...yani ukishaona comment ya kalpana inakwambia tukutane jioni baada ya mechi jua tuu mnyama anakula mtu...kivyovyote vileSawa saa 12 msijesema hatukuwapa muda
Na ndo hilo mtakaloishia, hamna kombe lolote mnaloweza kushinda maana kanuni hazina msaada tena baada ya hapa... [emoji23][emoji23]Moja ya mkakati ni kuchuku makomne yote ya ndani.
Na tayari moja lipo kabatini linaita wenzake
Asante kipenzi...mimi napokea sijui kwa wengine ila kwangu Mungu ametenda...😆😊😊😊Hongereni watani!
Asante ila kiukweli roho zilikuwa zinadundia mgongoniHongereni watani!
AiseeMnapigwa leo, bora ulale tu, baadae ujiandae na ibada.
Wewe ni Nikuulize el mereck uliye mtoa ni TEAM ya nchi ipi? kwanini hakucheza nchini kwake ?nani kawaruhusu ? Ukipata majibu yamejibu swali lako.Zingatia point mzee.
Wewe umemtoa mpinzani kwa kushinda game gani?? Wapi?? Maana kote umetoa sare.
Wewe umemtoa mshindani kwasababu ya kanuni tu. Kanuni za zama za ujima. Kama ni tofauti, leta hapa game uloshinda dhidi ya huyo mpinzani. Mbona it is quite simple.
Kuna mwamba mmoja alikua anaangalizia kasimama anachunguliaa na nafasi za kukaa zilikua kibaoo😁😁😁😁😂!Asante ila kiukweli roho zilikuwa zinadundia mgongoni
kwa kanuni au sio? ... kama unabisha sema mechi uloshinda mpaka ukaingia hapo group stage? [emoji23][emoji23] kutoka kuingia kwa ushindi mpaka kanuni? What went wrong broda?Ni lini yanga mbovu iliwahi kuingia makundi? Simba hata ikiwa mbovu inacheza makundi
Labda fainali ya ndondoWapendwa wangu wa msimbaziiii mpooooooooooooo....tukutane fainali
Msipuuze mdomo wangu...