Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pyeeeepyeeee kidomo fyeeeee...mzize uko katia kambaNimeshajua kwanini walitufunga Hawa vyura
Kumbe ni kweli miamala ya mabeki wetu ilisoma mapema Sana kudadekiiii 😠😠
Hapa wenzio watakuja🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸
Amefanyaje?MZIZEEEEE
Tupo hata kabla ya goliVyura wakifunga ndio watatokea hapa uzi wa saa 6 usiku hadi sasa hauna post 250
Coastal nao tumeshawapa muamala wao wameachia.Nimeshajua kwanini walitufunga Hawa vyura
Kumbe ni kweli miamala ya mabeki wetu ilisoma mapema Sana kudadekiiii [emoji34][emoji34]
🐸tupo hata kabla ya goli
AiseeSoma hiyooooo.
Hawa team ndogo wenzenu huwa wanatuheshimu. Wanapaki bus na kupoteza muda ili wasiunganishwe na huduma ya 5G. Nyinyi kiliwaponza kiherehere cha kudhani mnaweza kupambana na sisi. Badala ya kupaki bus, mkafunguka. Next time mkirudia mtakula wiki kabisa!Nimeshajua kwanini walitufunga Hawa vyura
Kumbe ni kweli miamala ya mabeki wetu ilisoma mapema Sana kudadekiiii [emoji34][emoji34]
Hakika🤣😂Nasikia wako busy wanahamishia magodoro mabwepande
AmefungaAmefanyaje?
Mo yuko top 10 ya matajiri africa, simba kavuna 2b kutoka AFL kwa mechi mbili2, najaribu kuvuta taswira ya wachezaji wa simba kupewa miamala ili wafungishe inakataa, samahanj mkuu leta point nyingine maana hii ni pointless🙄🙄🙄Nimeshajua kwanini walitufunga Hawa vyura
Kumbe ni kweli miamala ya mabeki wetu ilisoma mapema Sana kudadekiiii 😠😠
Kam kauwaaa kam dauwaaaa mida yetruuuu mida yetruuuuuu💪💛!Pyeeeepyeeee kidomo fyeeeee...mzize uko katia kamba
kuna watu walihenyeshwa dak 90 nimikesi mpaka bungeniMnahenyeshwa na underdog[emoji23][emoji23]