Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
🤣🤣leo hamna magoli matano ya mchongo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wayapate wapi hao vyura wa jangwani 😁🤣🤣leo hamna magoli matano ya mchongo?
Toka ligi ianze wamefunga timu ngap tano tanoWayapate wapi hao vyura wa jangwani [emoji16]
Kiuhalisia Simba tulipoteana juzi mapema tu[emoji1787][emoji1787]leo hamna magoli matano ya mchongo?
Tupo kwa mechi ya leo, we upo kwa mechi ipi Uto?Toka ligi ianze wamefunga timu ngap tano tano
Hamna rushwa tulipoteana tu juziRushwa ni adui wa haki, kuna kitu kinakuja second half
🤣😂Nasikia wako busy wanahamishia magodoro mabwepandeVyura wakifunga ndio watatokea hapa uzi wa saa 6 usiku hadi sasa hauna post 250
Wafunge nini? 😂😂Yanga fungeni bana
TutafidiaRefa anatumia muda mwingi sana kupiga stori na wachezaji. Refa anachangia kutupotezea muda.