Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Acha tu. Naona najilazimisha nlitakiwa niwe nimelala tu.Dah wewe jamaa duh ulikuwa vise versa haswa. Pole
Nimeanza kuamini yale maneno kwamba waarabu wamepanga kugawana point moja moja kila mtu akapambane kivyake huko mbelehalf time Musa 0-0 Farao.
game imebalance 50/50.
Mechi bado. Dk 63Nimeanza kuamini yale maneno kwamba waarabu wamepanga kugawana point moja moja kila mtu akapambane kivyake huko mbele
Sio mbaya sana kwa Yanga kama wakimfunga CRB kwa mkapa.
MD 5 itatoa picha halisi ya group kama mechi itaisha kwa sare.
Ni kweli, na mechi ya mwisho watakuwa wanatafuta sare tu ili iwavusheSio mbaya sana kwa Yanga kama wakimfunga CRB kwa mkapa.
Ni mbaya tena sanaSio mbaya sana kwa Yanga kama wakimfunga CRB kwa mkapa.
Bado hata wakishinda, Belouizdad ana faida ya kukutana na Medeama kule Algeria, huku Yanga akikutana na Ahly kule EgyptMatokeo ya sare bado inaweza ikawapa matumaini Yanga, endapo watashinda hapa Dar vs Belouizdad
CRB anaweza mshindwa MedNi mbaya tena sana
Ili iwe nzuri kwao inatakiwa ashinde ushindi kuanzia 3 tena kwa clean sheet
Kwasababu huko mbeleni wakiwa na point sawa itabidi h2h ifumike ambapo Yanga hatopita.
MD 5 ndio nini?MD 5 itatoa picha halisi ya group kama mechi itaisha kwa sare.
Mechi ya mzunguko wa tanoMD 5 ndio nini?