FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Kama Yanga mnapigwa na kibonde magoli 3 kwa nunge, mechi na Al Ahly tutegemee elnino ya magoli. Kweli Yanga ni sawa na kibatari kinachowaka kikiwa ndani ya nyumba lakini ukikitoa nje kinazimika. Pole sana Utopolo!
 

Wao CRB hawakuwa na hizo ratiba za FIFA? Ila utopolo bana [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyi ndiyo ukisikia mpemba anasema "kufungwa twafungwa lakini chenga twawala".

Mmenichekesha sana vyura, poleni, ndiyo ukubwa huo.

Nilikuwa nashangaa naambiwa yanga anapiga mpira hatari. Nikasema ohhhh sasa hawa chura wanatupa kero mjini.

Lakini jamaa wao wanafunga tu. Leo marudio saa ngapi tuangalie[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…