Kuendelea na vichekesho hivi bonyeza #Tarehe 20
Yanga 3 Simba 0
Ni kweli ndio maana CAF champions league kapigwa nje ndani..Yanga hawajui mpira kabisa
Yanga 0 Simba 3Tarehe 20
Yanga 3 Simba 0
Pole sanaNitabaki na Simba yangu hata kwenye nyakati ngumu.
KILA LA KHERI SIMBA SC.
Utapigwa 7 mkuuYanga 0 Simba 3
Hata kombe la Mbuzi hawapati2023-2024 season is done!. Tukajipange tena msimu ujao
Hilo halipo TFF na bodi ya ligi wameamua kumuendelezea Simba kiporo.Na Hicho kiporo mkicheze haraka. Tarehe 20 tuwe sawa mechi, muache janja janja mshenzi.
Simba itakuja kivingine safari hii ...Utapigwa 7 mkuu
Sio rahisi BrazaMsimu ujao kombe la loser linawahusu
Waache waje kwenye Darby na matokeo yao tuwaonyeshe!!Simba itakuja kivingine safari hii ...
Msisahau tuna kombe la ngao ya jamii mwaka huu.Hata kombe la Mbuzi hawapati