Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameweka mkuuUmeniwahi Mkuu.
Ihefu wanafunguka sana wanafungwa la pili soonLeo ndiyo leo kwa vyura
Tulia weweIlikuwa ni suala la muda tu kwa Ihefu kusawazisha
Ile faulo mi sijailewa kabisa... Mwamnyeto ndo kachezewa lakini refa kaamuru iende YangaIlikuwa ni suala la muda tu kwa Ihefu kusawazisha
Bora mmerudi [emoji2957][emoji1787][emoji1787]Gooooooooaaaaal kizalendo kabisa utopolo ana papaswa na ihefu
Bado hujasemaIle faulo mi sijailewa kabisa... Mwamnyeto ndo kachezewa lakini refa kaamuru iende Yanga
Pale tumepigwaSkudu anajua amapiano tu
Sasa maana ya kikosi kipana ni ipi? Acha wacheze hao hao hadi mwisho, lazima wapewe nafasi kulinda vipaji vyaoMudathir na Aucho wanatakiwa waingie kipindi cha pili. Hapo kati viungo wamepotea kabisa
Iko waziNi suala la muda tu, hao ihefu tutawapiga tu
[emoji848] usikimbie tu uzi [emoji28]Bado hujasema
Waongeze moja wapaki basiclean sheet imechafuliwa