Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Aaaahaaaa kudadeki,wabongo mna manenoSi mlisema gamondi anarusha jezi anaye idaka ndo huyo huyo anaanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaahaaaa kudadeki,wabongo mna manenoSi mlisema gamondi anarusha jezi anaye idaka ndo huyo huyo anaanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AahaaaaaWacheze hao hao hadi walete matokeo.
Mi naona Gamondi kawachezea trick na wenyewe wamejaa.... Kumbuka kawaweka hao makusudi Tu ili wachoshane Ila kipindi cha pili game itakua rahisi Sana...Mbaya zaidi msimu uliopita tulipoteza point kwenye huu uwanja. Hivyo hakutakiwa kucheza kamari kwenye huu mchezo.
Alitakiwa aanzishe kikosi cha kazi, ili kufuta uteja! Halafu kwenye mechi na Geita Gold ndiyo angefanya haya mabadiliko yake.
Nimemchunguza kwa muda mrefu. Karibia pasi zake zote anarudisha nyuma, badala ya kwenda mbele kushambulia. Anaonekana hata match fitness hana.Tena Skudu hamna kitu pale
Labda anamukhofia Yao Yao huko njeKibwana hajapiga cross hata 1 hadi sasa na simuoni kabisa akipanda.
Hahahaaa. Lol.Mods badilisha ubao wa matangazo hapo juu
Na ule mkeka wako vpHuwechi amini nimechanganyikiwa yani natamani utopolo aongechwe kamba nyingine au bachiii
Huyu apewe mechi nyingi acheze apate fitness tena zile zisizo na umuhimu sanaNimechunguza kwa muda mrefu. Karibia pasi zake zote anarudisha nyuma, badala ya kwenda mbele kushambulia. Anaonekana hata match fitness hana.
Wao nao ni wachezaji na wanalipwa mshahara na huwa tunasema tuna kikosi kipanaHiki kikosi hata mimi nilikitilia mashaka tangu mwanzo. Ili tupate ushindi; Skudu, Sure Boy, Moloko, Kibwana, na Mauya wanatakiwa wapumzishwe. Hakijabalance kabisa.
Kula tunda kimasikhara [emoji16]Hahahaaa. Lol.
Itakuwa wako busy na majukwaa mengine Mkuu. Teh
Lile tatizo la kichwa kupata moto limerudiHuwechi amini nimechanganyikiwa yani natamani utopolo aongechwe kamba nyingine au bachiii
Aahaaaa,naona yuko radhi mkeka uchanike kuliko Yanga akishindaNa ule mkeka wako vp
Uko sahihi. Ila kocha hakutakiwa kufanya mabadiliko makubwa kwenye mechi yenye presha kama hii.Wao nao ni wachezaji na wanalipwa mshahara na huwa tunasema tuna kikosi kipana
Aaahaaaa,sawaHahahaaa. Lol.
Itakuwa wako busy na majukwaa mengine Mkuu. Teh