Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
MaaaaaweeeeeeYanga kakubali huko View attachment 2771730
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MaaaaaweeeeeeYanga kakubali huko View attachment 2771730
Mkuu tunapaswa kukosoa pale tunapoona kuna makosa ya wazi yanafanyika. Hii mechi haikupaswa kuanza na kikosi kile, ona mlima uliopo mbele yetu sasa yaani tunaisaka droo kwa tochiHamna Mkuu ni mapema sana kumlaumu Gamondi.
Naimani tungepata matokeo na kile kikosi alichoanza nacho ni dhahiri saa hii tungekuwa tunamwagia sifa kama zote.
Sema kweli 😂Ha ha ha wenye mechi wote wametoweka jukwaani
MaaaaaweeeeeeView attachment 2771734
Watakaza kweli hadi mwisho?Mechi imeisha hiyo.
Mwanaume ihefu yupo na wali wake..
Pira gamondi limeharibiwa
Duuu huyo ni mtabiri au??
Mwanautopolo.Kwani hao wanaocheza sio wachezaji wa utopolo?
Usipige sana kelele mechi iishe kwanzaTunyamazishie hyo midomo Ihefu
Kwani hicho ni kikosi cha chura na si cha yanga?Hii mechi haikupaswa kuanza na kikosi kile