Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko kama ni chura litampataa maana yeye sio kuku 😂Halimpati mwewe lakini wew ni Chura
anzisha uzi wako wa makolo utoe updates
Niwe mkweli tu sijawahi kuona mtu anayeandika kwa herufi kubwa akawa na akili.NARUDIA TENA LABDA JKT WAZIKATAE HELA ZA YANGA KINYUME NA HAPO WATAFUNGWA TU.
MC ALGER,TABORA,AZAM NA AL HILAL WALIZAKATAA HELA ZA YANGA MAMBO YAKAWA MAGUMU.
Amini bro chura sio kukuKo kama ni chura litampataa maana yeye sio kuku 😂
Umeuliza Umri wake kwanza?😂😅Niwe mkweli tu sijawahi kuona mtu anayeandika kwa herufi kubwa akawa na akili.
na wa makolo naanzisha mimiMwanangu Vincenzo Jr ngara23 muwe muna kamatia jahazi hawa pimbi wenginine jau.
Vinaanzisha nyuzi za live afu haviwezi show zenu wana Yanga.
Maaan ya uzi kuwekwa live Ndio hiyo
Huna akili hiyo wewe mshangazina wa makolo naanzisha mimi
Hili la kubadilika kwa kocha inaweza ikaigharimu Yanga aisee. Ni kama timu imeanza na upyaHamna furaha wala huzuni ambayo hudumu milele,mashabiki wa simba,soon mtarejea kwenye furaha yenu.I have said and so shall it be.Amen.
Mtoto halali na helaI smell suluhu
ume smell matokeo ya kesho hayoI smell suluhu
Asante brooo tumeipokeaNawatakia Droo njema ndugu zangu.
moto upi zaidi ya kushikiria bomba, maana hata ajafika golini kwa mwananchiJKT wanapelekea Jitu zima moto hapa