Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Kunywa “MMA” ya kutoshaUtakutana nao hao uwanja huo huo, unacheza na timu wachezaji watano hawana vibali unajiona una timu. Utakuja huku mimi na malizana nao. Mpaka mwezi wa kumi mtaanza kuzikumbuka bil 20 zenu.
Kuna msimu, KOLOZ walienda KAITABA halafu walisingizia wachezaji wao eti wanaumwa wote. Wakasepa bila kucheza mechiUtakutana nao hao uwanja huo huo, unacheza na timu wachezaji watano hawana vibali unajiona una timu. Utakuja huku mimi na malizana nao. Mpaka mwezi wa kumi mtaanza kuzikumbuka bil 20 zenu.
Penati ya wazi kabisa Kagera wamenyimwa 😭😭😭😭😭Simba chagua mawili
Utangulie halafu tukufikie,au tukufikie kisha utangulie
Tulieni Mfalme wa soka Tz ameanza ligi, hizo mambo zilipendwa. Njooni na mpya. Aliye juu...Nibebe…Nibebe…Nibembeleze…NibebeView attachment 3082239
Makolo haooo🤣🤣🤣Mods hawaamin
Siku hiyo kwenye uwanja huu hata maji yatakuwa haya nyweki.Kuna uwezekano hata shirikisho msitoboe.Kunywa “MMA” ya kutosha
Mlikuwa mnapumulia juu juu sasa ndiyo sauti zinatoka!Wewe ndio mjinga kama ulijiaminisha Kagera anaweza kuizuia Yanga isiondoke na point 3.
Wanacoment huku wanalia🙄Mlikuwa mnapumulia juu juu sasa ndiyo sauti zinatoka!
Tushamalizana nao leo ila mtakuja hapa. Mnacheza na timu ambazo wachezaji wao muhimu zaidi ya 5+ hawana vibali mnajiona watu wa maana. Mtakuja hapa na kuanza kuzikumbuka bil 20 zenu.Mlikuwa mnapumulia juu juu sasa ndiyo sauti zinatoka!
Dah pole kwa hiyo ubao ungesoma 1_2 😂😂Penati ya wazi kabisa Kagera wamenyimwa 😭😭😭😭😭
mchague wenyewe,japo kinawaumaSimba chagua mawili
Utangulie halafu tukufikie,au tukufikie kisha utangulie
Nani aumie mkuumchague wenyewe,japo kinawauma
Unazo? Au umebana za mtu hapo😅Sema leo wamekaa kooni..... Tumebana pmb yani ehuuuu