Kaka kama hutaki historia futa basi hiyo historia yenu ya mabingwa wa kihistoria hahahhahhaahππππMaumivu ya kipigo cha miaka 20 iliyopita haiwezi kuwa sawa na anayepitia maumivu ya sasa. Hiyo unayosema pengine mwanao hakuwahi kushuhudia ila kinachojili kwasasa kaona live. Historia inabaki kuwa historia tu kama historia ina maana basi kachukue yale magoli na zile point za historia ziwaongezee kwenye msimamo wa ligi kuu.
Hiyo huwezi kufuta kwasababu ukienda kwenye kabati la makombe la Yanga unayakuta yamekaa makombe 30. Sasa kuna kabati linalohifadhi matokeo ya mwaka 47? Akija Lionel Messi kutembelea timu halafu ukamwambia tuliwahi kumfunga Yanga miaka zaidi ya 10 nyuma magoli 9 atakuona ni mwehu, watu wanaangalia current form. Ila huyo Messi ukimtembeza kumuonesha makombe yako yote 30 uliyonayo, anakupa credit kwa ku dominate kwenye ligi kuu.Kaka kama hutaki historia futa basi hiyo historia yenu ya mabingwa wa kihistoria hahahhahhaah[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kwa hiyo wewe utamuonyesha hayo makombe ya mwaka 47 na muungano wako wa 7-2 ila hutaki wenzio waonyeshe kipigo heavy mlichoshushiwa!!?Hiyo huwezi kufuta kwasababu ukienda kwenye kabati la makombe la Yanga unayakuta yamekaa makombe 30. Sasa kuna kabati linalohifadhi matokeo ya mwaka 47? Akija Lionel Messi kutembelea timu halafu ukamwambia tuliwahi kumfunga Yanga miaka zaidi ya 10 nyuma magoli 9 atakuona ni mwehu, watu wanaangalia current form. Ila huyo Messi ukimtembeza kumuonesha makombe yako yote 30 uliyonayo, anakupa credit kwa ku dominate kwenye ligi kuu.
Tulia dawa ikuingie taratibuuuuu...huku ukiugulia maumivu...Hiyo huwezi kufuta kwasababu ukienda kwenye kabati la makombe la Yanga unayakuta yamekaa makombe 30. Sasa kuna kabati linalohifadhi matokeo ya mwaka 47? Akija Lionel Messi kutembelea timu halafu ukamwambia tuliwahi kumfunga Yanga miaka zaidi ya 10 nyuma magoli 9 atakuona ni mwehu, watu wanaangalia current form. Ila huyo Messi ukimtembeza kumuonesha makombe yako yote 30 uliyonayo, anakupa credit kwa ku dominate kwenye ligi kuu.
Tano za wapi hizo mdogo wangu...πππvia hiyo miwani utaona tano zilivyosimama..
Kweli mkuuNi dakika 90
Mshindi atafahamika baada ya mechi kuisha
Tutaona Baadae,Azam walisema hivyo hivyo.Ligi Kuu ndio inaanza leo sasa, yale mabolizozo yalikuwa yanacheza bonanza la ufunguzi wa ligi.
Atawakuta wewe na Mrembo Alan WalkerSubiri nikuite sehemu utuoneπ
tano za mpiraTano za wapi hizo mdogo wangu...πππ
Subiri nimuiteAtawakuta wewe na Mrembo Alan Walker
Niitie nimnyonyeshe KOKSubiri nimuite
Kagera sugar anashinda msinitafute baadaeπ°πππππ ππππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Kagera sugar FCπYanga SC
π 29.08.2024
π Kaitaba Stadium
π11:00 jioniView attachment 3081842