Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Mikia wanatafutiza vya kusingizia. Ingekuwa ni Yanga imecheza mechi ya jana na biashara ungesikia kejari za mikia. Yanga wengi wastaarabuKatubeba kwenye tukio lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikia wanatafutiza vya kusingizia. Ingekuwa ni Yanga imecheza mechi ya jana na biashara ungesikia kejari za mikia. Yanga wengi wastaarabuKatubeba kwenye tukio lipi?
Karibu sana,kule waachie Mwamedi na Vijakaxi wakeTwende kazi mwananchi..nimeanza kufall in love rasmi na soka la bongo na nakaa jangwani rasmi.
Kwahyo mkuu hujaona kama ni offside ile au ndo mapenzi yanatuongoza zaidiMpira wa bongo unazingua sana refa anawanyima Kagera penati ya wazi
Acha kukariri wewe! Line 1 alisha nyoosha kibendera cha offside! Na hata tukio lilipo rudiwa, huyo mchezaji wa Kagera sugar alikua katika nafasi ya kuotea.Refa kawabeba sana
Mchezaji mmoja wa uto kaunawa refa katoa offside
Yaani Azam wamerudia na inaonekana clear offside lakini unaona wameonewa. Dah sijui ni kutokujua sheria ya offside au ndio ushabiki umekutawala kiasi kwamba unajitoa ufahamuIlisharudiwa sina cha kubisha ila mmebebwa
Wewe ndo unakariri na mpira wenu mbovu 🚮🚮🚮🚮Acha kukariri wewe! Line 1 alisha nyoosha kibendera cha offside! Na hata tukio lilipo rudiwa, huyo mchezaji wa Kagera sugar alikua katika nafasi ya kuotea.
Kosa la mwamuzi liko wapi?
Niliongea halftime kwamba game ilikuwa kipindi cha kwanza na zile nafasi za wazi tulizo kosa kwa Yacouba ndo katukosesha ushindiYanga tumeshinda lakini hatujacheza vizuri.
Nasikia wenye mpira mzuri wa biriani jana wamemtandika biashara goli tatu.Wewe ndo unakariri na mpira wenu mbovu [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Lakini si mmeshinda hahahaNiliongea halftime kwamba game ilikuwa kipindi cha kwanza na zile nafasi za wazi tulizo kosa kwa Yacouba ndo katukosesha ushindi
Kagera waliofungwa wamekubali ni offside, ila mashabiki wa Simba ndio wanaopinga maamuzi ya refa.Ilisharudiwa sina cha kubisha ila mmebebwa
Hii profile pic inaleta "uchochezi".Lakini si mmeshinda hahaha
Yaani hapo alipo anatema tema mate tu kwa uchungu. Leo goli moja anaona Yanga mbovu wakati wao jana ilipoamuliwa tuta waliruka ruka kushangilia tuta ili mradi wapate angali hata goli.Kagera waliofungwa wamekubali ni offside, ila mashabiki wa Simba ndio wanaopinga maamuzi ya refa.
Mkuu kwa yanga hii mbovu bado.kagera timu.ya kawaida ila imewazidi pasi.hata ball possession nadhani.wamewazidi na.ubaya uwanja mzuri.ila hamna kitu. Hivi.ile timu.iliyokua unasifiwa saana ndio hii.imecheza leo..?Yaani hapo alipo anatema tema mate tu kwa uchungu. Leo goli moja anaona Yanga mbovu wakati wao jana ilipoamuliwa tuta waliruka ruka kushangilia tuta ili mradi wapate angali hata goli.
Ww ni mtu mkweli.sana. kiukweli.mpira yanga waliocheza wakawaida saana na uwanja mzuri.ila mpira wa yanga mbovu saana aisee hivi zile mbwembwe ndio za timu hii..?Yanga tumeshinda lakini hatujacheza vizuri.
Tumeshinda ila matumizi ya nafasi ni muhimu sana Coz usipotumia nafasi vzr mpinzani wako akipata atazitumiaLakini si mmeshinda hahaha
Subiri sare yako nyingine Ijumaa dhidi ya Dodoma JijiWw ni mtu mkweli.sana. kiukweli.mpira yanga waliocheza wakawaida saana na uwanja mzuri.ila mpira wa yanga mbovu saana aisee hivi zile mbwembwe ndio za timu hii..?
Weee ! Achana nayo shangilia Yanga.Hii profile pic inaleta "uchochezi".
Sawa Mkuu sisi sare ndio mwanzo.wetu wala hatunaga kukataa matokeo yetu ila muda utakuja kutupa ukweli baadae yunaomba tu zile lawama za kumlaumu karia, TFF bodibya ligi.mwaka huu si siwepo maana sijaona kiukweli timu ya kuwa bingwa kwa yanga hiiSubiri sare yako nyingine Ijumaa dhidi ya Dodoma Jiji
Mechi ijayo.yanga anacheza na nani..?Subiri sare yako nyingine Ijumaa dhidi ya Dodoma Jiji