The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Jaman tunaomba link
Tukutane mechi ikiishaSafi sana Kaiser mmeishatiwa. Keep it up boys
sema kitu utabiriMpira bado umepoa
Unatumia king'amuzi gani?Hakuna channel yoyote inayorusha hii game? Maana DStv nimesearch mpka nimechoka Sasa.
usikimbie kaa humu humu mpaka mpira uisheKaizer Chiefs, kama tulivyo kubaliana! msiniangushe! Maana huu mpira hautaki hasira. Kama Prisons wameweza, nyinyi mshindwe mna nini?
Piga hao mikia fc!!
YesKaizer Chiefs, kama tulivyo kubaliana! msiniangushe! Maana huu mpira hautaki hasira. Kama Prisons wameweza, nyinyi mshindwe mna nini?
Piga hao mikia fc!!
utabiri wakoKapombe angetoka tu
kazubaa mpaka keroKapombe angetoka tu
Una uhakika? Wananchi hatutaki joto liendelee kupanda mjini.Simba Aluta Continua, Nusu Fainali ndio lengo la Watanzania wote kwa sasa.