Bila kununua na leo mnaweza pigwaWw tayari ni Ashura cheusi maana tushachukua kwenye akili zetu au unataka uthibitisho? [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Na ww ushakua kama mla ngada siku hzi ka unga kamekufikia na wewe nini?. 😀 😀 😀Bila kununua na leo mnaweza pigwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]HAYA MIHOGOMungu hana muda na wana ngada
Ndo imetukuza hiyo..!!! We wa baga ndo umeishia kwenye ngada 😅 😅 😅 😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787]HAYA MIHOGO
Sie ngano tu chapati mm napenda team zote 3 ziwe competente ila simba ya msimu huu naumia naona kama tunaionea tuNa ww ushakua kama mla ngada siku hzi ka unga kamekufikia na wewe nini?. [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwahyo hatuko competente?? 😀 😀 😀 😀Sie ngano tu chapati mm napenda team zote 3 ziwe competente ila simba ya msimu huu naumia naona kama tunaionea tu
Amko kabisa mnasindikiza tuKwahyo hatuko competente?? [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kyombo BadoPacha ya Phiri na Kibu na Pacha ya Kyombo na Phiri.. Ipo ambayo ni bora..?!
Hapa ndo unaona umuhimu wa kufanya usajili kwenye dirisha dogo.
Simba anapigwa goal moja kwa sifuri.Simba Vs Namungo Leo...tunawekaje mkeka?
Kyombo kinachomfelisha ni presha, naamini akipewa dakika nyingi za kucheza mfululizo ataonesha kitu kikubwa zaidi.Pacha ya Phiri na Kibu na Pacha ya Kyombo na Phiri.. Ipo ambayo ni bora..?!
Hapa ndo unaona umuhimu wa kufanya usajili kwenye dirisha dogo.
Nahisi uongozi wa simba una mapungufu yanayoathiri wachezaji. Kama Kocha wa viungo ametangazwa jana, ina maana aliyekuwepo hakukidhi mahitaji. Inawezekana simba ina wachezaji wazuri, ila kuna mambo hayako sawa.Kyombo kinachomfelisha ni presha, naamini akipewa dakika nyingi za kucheza mfululizo ataonesha kitu kikubwa zaidi.