OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Lini ulimkubaliKibu leo mpira umemkataa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini ulimkubaliKibu leo mpira umemkataa
We need goals mzee league kila goli lina maana baada ya point katika ubingwaKaishaona mechi wameimiliki na hakuna possibility ya wapinzani kuchomoa
Kwenye ule uzi wako wa takwimu kati yake na MayeleLini ulimkubali
Dakika ya 72 sijaona sub yeyote waliyofanya SimbaWe need goals mzee league kila goli lina maana baada ya point katika ubingwa
Huyu kocha kumbe nae mandazi tu.Dakika ya 72 sijaona sub yeyote waliyofanya Simba
wakikutana na wasio juaPhiri ni mtu na nusu M.huseein ni mtu na robo tatu
Nadhani hata hashirikishi akili sijui kavuta bangi?Kibu kama vile hajui kulink na wenzake.
Anacheza game tofauti kabisa na wengine uwanjani
Trust me hiyo game hahitajikiMkude atoke.
Atakula Yellow soon akosekane match na mtani.
Unawaacha kina Kyombo nje unaweka Bocco,daahBocco itakua si bure mshahara wake anagawanaga na akina matola
Hii ni hatari. Bench la ufundi la simba wazito sana kusoma mchezo wakiwa wanaongozaDakika ya 72 sijaona sub yeyote waliyofanya Simba