Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzamiru kacheza vizuri sana, ila kibu na boko aise hakuna umuhimu hapo
Wewe unajua match fitness za wengine? Hawa wakicheza match wakiumia Angola utawatumia na majeruhi juu?Anaekariri kati yangu na wewe ni nani sasa? Kwahiyo kama boko alifunga huko malawi kocha aendelee kumchezesha tu hata kama anacheza hovyo sio?
Siku hazifanani ndugu, leo huyu anacheza vzr sana, kesho yule naye man of the match cha msingi matokeo yanaonekanaMzamiru kacheza vizuri sana, ila kibu na boko aise hakuna umuhimu hapo
Gsm kupitia kwa Mavunde mechi hii kawaahidi Dodomo jiji kiasi gani,au kaona ni kazi bure tu kipigo hakiepukiki?Naona pipa na mfuniko mpo kwenye kikao.
Kabisa mkuuMshahara aliokuwa anachukia Dejan nashauri aongezewe Moses Scars Phiri
Maneno mengine kelele tu[emoji2]Kuna yule kiongozi wa Dodoma jiji nilimsikia akisema akifungwa hii mechi na Simba anaacha kazi
Yule inaonekana alipenda tu kuacha kazi
Anaweza kuondoka na Hat trick leo, kama ilivyo kwa HaalandMshahara aliokuwa anachukia Dejan nashauri aongezewe Moses Scars Phiri
Sio 19 nduguWamesajiliwa wachezaji 30, mechi moja wanaotumika pamoja na kukaa benchi ni 18 tu
Ni 30, mmoja ndo yupo hatihati kunyofolewaSio 19 ndugu
hao si huwa ni watu wa kulalamika,wanakwambia,"shida ni Karia tunaenda Ikulu kumuona Rais"Mbona ni Kama Utopolo Wanalia lia oooh mara Offside ooo GOLI La Mchongo...!
Nini Kinatokea huko tuelezeni..!
Ni kama lilivyo pengo la Sarpong kule UtopoloniPengo la Dejan linaonekana wazi kabisa.