Waminyato
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,197
- 4,525
Ilo mbona lipo wazi mkuu.Hili jitu litachukua kiatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilo mbona lipo wazi mkuu.Hili jitu litachukua kiatu
Jitu halina adabu kbsaaHili jitu litachukua kiatu
Chuku filimbi kapulize
Si ndio hao wapo sasahivi,wakiondoka wataletwa wengine.Ukiondoa chama, phiri na OKRAH . SIMBA hakuna skillled striker
Labda kiatu cha kwenda kwenye viwanda vya Juice vya Mwamedi.Hili jitu litachukua kiatu
Kwa hiyo tukupe msaada gani?
Naona pipa na mfuniko mpo kwenye kikao.Ilo mbona lipo wazi mkuu.
Usikariri kwamba hao ni wabovu, kila mmoja ana umuhimu wake, Bocco katutoa Malawi, Mkude katutoa kule Sokoine, Mzamiru naye ana michango yake pia...siyo kila saa kuwalaumu tuBoco, mzamiru, mkude hawa ni mizaha wanatakiwa kuingia kipindi cha pili na sio kuanza. Huyu kocha nae jikenge tu.
Kafanyeje mkuuHuyu Chama huyu
Wamesajiliwa wachezaji 30, mechi moja wanaotumika pamoja na kukaa benchi ni 18 tuKanoute, Okrah ata benchi hawapo
Alikiwa kwenye nafasi ya kutoa pasi yenye kusabisha goli lakini akainhia tamaa akawa anapiga chenga mwishowe akapoteza mpiraKafanyeje mkuu
Anaekariri kati yangu na wewe ni nani sasa? Kwahiyo kama boko alifunga huko malawi kocha aendelee kumchezesha tu hata kama anacheza hovyo sio?Usikariri kwamba hao ni wabovu, kila mmoja ana umuhimu wake, Bocco katutoa Malawi, Mkude katutoa kule Sokoine, Mzamiru naye ana michango yake pia...siyo kila saa kuwalaumu tu
SawaUtashangaa goli linabaki hilo hilo la mchongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Mzamiru kacheza vizuri sana, ila kibu na boko aise hakuna umuhimu hapoUsikariri kwamba hao ni wabovu, kila mmoja ana umuhimu wake, Bocco katutoa Malawi, Mkude katutoa kule Sokoine, Mzamiru naye ana michango yake pia...siyo kila saa kuwalaumu tu