Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaimani sana na Bocco kwasababu ya lile goli la kule Malawi
Wamedharau matchBoco, mzamiru, mkude hawa ni mizaha wanatakiwa kuingia kipindi cha pili na sio kuanza. Huyu kocha nae jikenge tu.
Kama hawa ndo wakwenda kucheza club bingwa sioni simba ikitoboa hata robWamedharau match
Na sio mara zote makocha wanakuwa sahihi kwenye maamuzi yao na ndio maana hata wachambuzi wamekuwa wakitofautiana sana kimtazamoNaweza nisiwe na Imani au nowe nayo lakini huwa sina hulka ya kusema fulani hafai au anafaa kwa sababu Mimi siyo kocha ambae niko nao mazoezini
Dakika ya 15..Kama hawa ndo wakwenda kucheza club bingwa sioni simba ikitoboa hata rob
Njoo baada ya 90' na hii comment yakoDakika ya 15..
Pass hazifiki kwenye 18
No on target wala off target
Hii match inatakiwa kuisha kipindi cha kwanza mkuu!Njoo baada ya 90' na hii comment yako
Sheria zinaruhusu wachezaji 11 tu uwanjaniKanoute, Okrah, Inonga wapo wapi!?
Lazima watu waseme yale wanayoyaona hayako sawaKuna Wana Simba wamekalia lawama tu..sijui huu mpira wanautazama kwenye Runinga za chogo
Hiyo ni mijitu ya matokeo tu,mpira sio makalio. Simba hawachezi peke yao Dodoma wamepaki unategemea niniKuna Wana Simba wamekalia lawama tu..sijui huu mpira wanautazama kwenye Runinga za chogo
Kwahiyo mkuu huu ni mpira wa kueleweka unavyouona?Kuna Wana Simba wamekalia lawama tu..sijui huu mpira wanautazama kwenye Runinga za chogo