Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni dk ya 33 kìpindi cha kwanza ligi kuu ya epl mancity akiongoza kwa 2-0
Inauma lakini....
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo huyu Halaand na Mayele wameamuwa kuwa wazee wa hat trick?Mchezo unaendelea, Man United ameshachezea 5-1, Magoli ya Man City yamefungwa na Phil Foden 8, 44 na Erling Haaland 34, 37, 64.
Man United imepata goli lake kupitia kwa Antony 56.
Gentamycine anakuita kule kuwa unapendelewa na Mods.Kwahiyo huyu Halaand na Mayele wameamuwa kuwa wazee wa hat trick?
Sijui dakika ya ngapi ila Moses Scars Phiri lazima atupieSimba 3-0 Dodoma
Okrah goli la kwanza
Ninachoweza kumsaidia ni kumpatia wataalam wa kisaikolojia wamsaidie.Gentamycine anakuita kule kuwa unapendelewa na Mods.