SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Huyo Okrah hayupo hata subSimba 3-0 Dodoma
Okrah goli la kwanza
Nabadili ubao Okrah hayupo,mfungaji ni Phiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Okrah hayupo hata subSimba 3-0 Dodoma
Okrah goli la kwanza
Nabadili ubao Okrah hayupo,mfungaji ni Phiri
Kwa hiko kikosi labda hizo goli nyingi uwasaidie wewe.Hii game ni ya goli nyingi naenda kuangalia kwenye kibanda umiza chenye Uto wengi
Simba mwenzangu ila unalawama sana..Hivi Simba wana Upuuzi Gani? Huwa wanakuwa na Maana Gani Kutumia Hela Nyingi kufanya Mechi za Kirafiki na Pre Season? Kama Wachezaji Ambao Wanaenda nao kwenye Mechi za Kirafiki na Pre season Hawawatumii?
Mashabiki wasipo enda uwanjani wanalalamika? Huu ni Upuuzi Gani?
Kikosi Cha leo Sidhani kama Hao wachezaji walio anza wana Mechi Fitness kwasababu Hawakuwepo Zanzibar
Mtu kama Okwa, Okrah kwanini Waanzie benchi Na Mwingine asiwepo Kabisa
Simba Viongozi na Benchi la Ufundi wanatupiga Sana hela kwa kisingizio cha Mechi za Kirafiki…. Kuna Tofauti gani na Timu ambayo haijafanya mechi za Kirafiki?
Eti Bocco kaanza kikosi cha kwanzaHivi Simba wana Upuuzi Gani? Huwa wanakuwa na Maana Gani Kutumia Hela Nyingi kufanya Mechi za Kirafiki na Pre Season? Kama Wachezaji Ambao Wanaenda nao kwenye Mechi za Kirafiki na Pre season Hawawatumii?
Mashabiki wasipo enda uwanjani wanalalamika? Huu ni Upuuzi Gani?
Kikosi Cha leo Sidhani kama Hao wachezaji walio anza wana Mechi Fitness kwasababu Hawakuwepo Zanzibar
Mtu kama Okwa, Okrah kwanini Waanzie benchi Na Mwingine asiwepo Kabisa
Simba Viongozi na Benchi la Ufundi wanatupiga Sana hela kwa kisingizio cha Mechi za Kirafiki…. Kuna Tofauti gani na Timu ambayo haijafanya mechi za Kirafiki?
Tunafuta Hilo kwenye ushindi wetu wa 4 bila hatutaki kusaidiwa aiseeNinja kajifunga
Assist ya nani itakuwa?Goooooooooooooaaal gooal
Abdallah Shaibu anajifunga baada ya kupiga kichwa | Simba SC 1-0 Dodoma Jiji
Mkuu kaa kimya kulinda heshima yako.Eti Bocco kaanza kikosi cha kwanza
Huyu hata kwenye picha za Gym za hivi karibuni zinazopostiwa na Club sijawahi kumuona
Mkuu kaa kimya kulinda heshima yako. ..yaani umeshasahau alichokifanya Bocco kwa Nyasa Big Bullets?!Eti Bocco kaanza kikosi cha kwanza
Huyu hata kwenye picha za Gym za hivi karibuni zinazopostiwa na Club sijawahi kumuona
Mkuu unaimani sana na Bocco kwasababu ya lile goli la kule Malawi?Mkuu kaa kimya kulinda heshima yako.