FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

Prison wapewe kifuta machozi cha milioni.7
 
Walitaka afunge hattrick wakati yupi kwao

Kwa mshahara gani haswa aliokuwa anapewa?

Mchezaji analipwa hela ndogo halafu katika hela ndo hiyo hiyo bado wanamkopa tena

We unategemea nini?

Wachezaji mpaka imewabidi kucheza michezo ya vikoba ili ku maintain hali ya kiuchumi
 

Sio Kuna Kipindi Tulitamba Sana Mpk Sasa Bado Tunatamba Na Tutaendelea Kutamba Kwa Miaka Mingi Ijayo, Anyway Kwani Hizo Hat trick Zimewapa Points Ngapi Mpk Sasa? [emoji28]
 
Huyu GSM Bora asiwe anawatangazia dau hao wapinzani wa simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…