FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

FT: Ligi Kuu Bara | Simba SC 7-1 Tanzania Prisons | Uwanja wa Benjamin Mkapa 30/12/2022

Mbona mmecheza mechi nyingi na magoli mengi alafu hamuongozi ligi🤣🤣
Ni kama vile mlivyocheza kiddo Cha uchi mkilambana vinyeo na na basata wamekaa kimya dhidi ya wacheza uchi fc
 
Tulizeni munkari sisi ndo wazee wa kupiga watu 5 na 7 hapa Tanzania
 
Ile ipo gereji wiki ya pili hii kwani hauna taarifa?

Sema kuna mitumbwi kadhaa nimeiona pale iko bomba sana ila haina mwiko wakupigia kasia, so itawabidi mkauchukue ule mwiko wa kwenye slogan yenu muutumie kama kasia

Hapo mtatisha
Nikweli imerogwa msimu huu wa sikukuu hata juzi sikuipata,ila ndege zipo pia😀
 
Sijawahi msema mzee lete ushahidi hapa..labda nilisema kuna kipindi alikua anawahi kuchoka...ofcourse kweli wana Simba ndo walikua wanaongoza kwa kumsema
Sina haja ya kuleta ushahidi maana hii comment ni ushahidi tosha 😀
 
Back
Top Bottom