kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaAshukuru, angekula umeme kbs.
Mechi za hatua ya Makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika kuendelea tena leo tarehe 08.07.2023
Yanga kutoka katika kundi D watakuwa ugenini kumenyana na Madeama ya nchini Ghana. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 1:00 jioni katika uwanja wa Baba Yara nchini Ghana.
Je, wawakilishi hawa wa Tanzania wataondoka na alama tatu?
View attachment 2836803
Kikosi cha Yanga kinachoanza
View attachment 2836806
Kikosi cha Madeama kinachoanza
- Mchezo umeanza
- Madeama wanapata penati 25'
- Goooal Madeama 1 - 0 Yanga
Bado hujasema[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]