mafarisayoo
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 1,190
- 830
Simba lazima atafuzuMi nilikuwa nawashangaa waliokuwa wanawapa presha Yanga eti kisa walimfunga Cr Belarouzidad
Wakati ukiangalia lile goli la pili lilikuwa sio halali maana mchezaji aliushika mpira na wachezaji wa Cr Belarouzidad walitoka kwenye focus wakijua refa atadimamisha mpira
Matokeo yake jamaa wakafunga goli huku Cr Belarouzidad wakiwa wamebaki na bumbuwazi.
Hivi unawaona hawa Medeama ni timu kabisa ya kuihofia?Mpira hauko hivyo jamaa yangu
UWAGE NA AKILI
Sijui itavyokuwa
Mechi 3 point 2Tulia wewe
WataijutiaYanga wanapoteza nafasi
Kweli chakula ya wakubwa[emoji23][emoji23][emoji23]Hizi timu za leo hapa, zitakuwa chakula ya wakubwa tu hakuna namna.
SanaWataijutia
Bado wana dakika, wanaweza kufanya maajabuWataijutia