FT: Madeama 1-1 Yanga | CAFCL | Baba Yara Sport Stadium | 08.12.2023

Unaongea huku roho inakuuma kwasababu unajua kabisa hao CRB wanafungika vizuri tu.
 
Ila Yanga Ipunguze Mbwembwe wakiwa kwenye Box.
Wakiangalia marudio ya hii mechi wanaweza kujifunza kitu.

Kibabage ni mdhaifu sana kwenye kufanya maamuzi.
 
Hatimaye hesabu za uto kucheza robo fainali cafcl zimetiki.

Mkakati uliopo sasa ni kumfunga Al ahly nyumbani mchezo unaofuata, ili tuongoze kundi.

Tukijumlisha na pointi sita za nyumbani za crb na madeama, tayari tumeingia robo fainali.

Tabu ipo kwa watani zetu, kolowizadi. Maana kesho kwa wydad ac wanapigwa mkono, wakija kwa gàlaxy na asec na wydad tena wanakufa. Wana kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…