FT: Madeama 1-1 Yanga | CAFCL | Baba Yara Sport Stadium | 08.12.2023

FT: Madeama 1-1 Yanga | CAFCL | Baba Yara Sport Stadium | 08.12.2023


Mechi za hatua ya Makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika kuendelea tena leo tarehe 08.07.2023

Yanga kutoka katika kundi D watakuwa ugenini kumenyana na Madeama ya nchini Ghana. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 1:00 jioni katika uwanja wa Baba Yara nchini Ghana.

Je, wawakilishi hawa wa Tanzania wataondoka na alama tatu?

View attachment 2836803
Kikosi cha Yanga kinachoanza
View attachment 2836806
Kikosi cha Madeama kinachoanza

- Mchezo umeanza
Mbona mpira haujatulia yaani ni butu butu Yanga wanapoteza mpira hovyo hovyo
 
Hivi vitambaa vya msiba yanga wamenunua wapi?
 
Back
Top Bottom