mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Yanga SIYO timu ya wananchi bali ni timu ya wananchi wachovu wa jangwani!! Medeama tupigie hao wachovu hadio wai-miss michuano ya losers!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kam kauwaaa kam dauwaaa💚💛💪💪!!Wazee wa kupeleka Motooo!!💛💚
labda kyoma kyoma Maxence Melo atanipa hilo rungu siku moja who knows..Uvokua kimya humu nikahisi umekua mod buana🤠!
Daimaaa mbeleee 💚💪!
Ungejiita @kuzimukwetu na sio mbingunikwetuYanga SIYO timu ya wananchi bali ni timu ya wananchi wachovu wa jangwani!! Medeama tupigie hao wachovu hadio wai-miss michuano ya losers!!