Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MaxKadi ya njano anapewa njano pale
Unataka kufananisha na screenshot zako?Simu yako inahifadhi vitu kama hivi ?
Chawa unafanya nini hapa?Nawakumbusha tuu CR alipigwa 2-1 ,mpira haujaisha Sasa nyie Yanga rizikeni mjione wakubwa mtatobolewa kote kote.
Hamji hadi mfungeHatujamaliza 💚
Nimeshalia nikacheka..Na utalia. Subiria hapo.
Uto mmeyakanyaga.
Haha...Kuliko kubeti?
Tunafahamu Yanga Ina wachezaji Bora na ni kikosi kipana. Mchezaji mmoja hawezi kuvusha timuWakati nawaambia watu Pacome ndio usajili bora kwa msimu huu Tanzania nzima walinibishia, natamani nimtafute kila mmoja wao nimkumbushe!
Labda wakutoboe wewe huku dar.Kama Hawa Madeama watacheza hivi na Dar watatoboa mechi zote
😂😂😂😂nimecheka sanaUMEPIGAJE APOOO
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kampigie makofi Sa100, hapa tunaangalia boli mkuu.
Refa yupo kusimamia Sheria za mpira wa miguuYanga wawe makini wanacheza sana faulu