ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Huyu gamondi vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Papatu papatuhuyu mshambuliaji mzinze bado sana
Musonda atoke abakie Mzize.Kule mbele naona Mzize na Musonda wanarukaruka tu.
NikeHawa mediama wachezajinwake wanapaswa kuvaa viatu vya Adidas...si kwa kuteleza huko. Sijui wanavaa viatu vya aina gani?
Nini maana ya kikosi Bora?Mimi siku zote huwa ninasimama kwenye ukweli. Yanga hatuna mshambuliaji mbadala wa Fiston Kalala Mayele.
Musonda amepoa aingie ajaribu bahati yakeUnaongea huku moyo unakuuma
Belouizdad wabishi hawaIla mpira wa Leo ni mtamu kuliko wa Al Ahl