Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Wamefanyaje??!Tanesco
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamefanyaje??!Tanesco
Leo nakwambia watatupuna watoto wa mzee madiba 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lomalisaaaaa [emoji1787]
Ushindi lazimaEee mungu wa Yanga 🙏🙏🙏🙏
Wamebana sanaMwenye Link
mwenye Link
Mwenye Link wakuu
Wifi chelsea jana kafufukia kwa mashetani 🤣🤣🤣🤣😂😂
Sasa wifi, Chelsea kaingiaje hapa tena jamani..??
KabisaHawa jamaa angekuwemo fundi pakome angeunganisha washambuliaji na kiungo kwa possessions zake tungeshawagonga kimoja.
Mipira haikai kabisa katikati
Tulia wewe saa 5 mna kibarua kizito kwa Mwarabu kuleila utopolo jitu linapasia nyuma ya mtu max
Oooh polee na hongera kwa mfungo wa kwaresma.Nilikuwa Kwaresma mdogo wangu...
Unaendeleaje?
Leo ni Leo Dogo[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu leo umekula nn?Leo nakwambia watatupuna watoto wa mzee madiba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzize ataingia wakichokaNanukuu,
"""Bora hata angeanza Mzize anayekosa magoli ya wazi, huku akijituma na kuwasumbua mabeki! Dah!! Hii ni kamari ya hatari sana kocha ameamua kuicheza.""""
Kuna brother mmoja Ali itwa senge huyu bro alikua Ni hatari Sana kwenye kufumania nyavu..
Mzize anashindwa Nini kuji train kwenye hiyo area ya kushindwa ku score nafasi za wazi..
Mfano
Afanye ivi achukue mipira hata mitatu mpaka minne afanye zoezi la kugongesha mitambaa panya siku nzima itamwongezea umakini pia Kama Hana utulivu ajarib ku smoke hata mjani kidogo kichwa ikae sawa ama kupiga mvinyo kidogo kutampa utulivu