FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Mwenye Link
mwenye Link
Mwenye Link wakuu
 
Hawa jamaa angekuwemo fundi pakome angeunganisha washambuliaji na kiungo kwa possessions zake tungeshawagonga kimoja.

Mipira haikai kabisa katikati
 
😂😂
Sasa wifi, Chelsea kaingiaje hapa tena jamani..??
Wifi chelsea jana kafufukia kwa mashetani 🤣🤣🤣🤣
Ile mechi ya jana mwenyewe sikuamini ila nilifurahi kinouma
 
Nilikuwa Kwaresma mdogo wangu...
Unaendeleaje?
Leo ni Leo Dogo[emoji2]
Oooh polee na hongera kwa mfungo wa kwaresma.
Mie niko poaa sana,
Yaan atakae sema kesho ni muongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzize ataingia wakichoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…