FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Timu inashindwa kupigiana hata pasi 3 kwa usahihi ajabu kabisa
Mbumbumbu
20240401_220208.jpg
 
Yangaa bado mnasafari ndefu sana


yaani Dakika 45 zote mna pass 93..
Sasa mmeemda kufanya Nini Uwanjani
Screenshot_20240405_220232_Chrome.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Masandakolozdad mmeacha uzi wenu mmekuja huku kunafikia, hii ndio Bongo [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Kwa mfumo wa Yutong hata angekuwa Pacome ambaye wana Yanga walikuwa wanatamani kumuona, bado asingekuwa na impact kwenye timu.

Pacome angeonekana kuwa na madhara pale timu inapokuwa inamiliki mpira na kushambulia, sio kwa aina hii ya defence ambayo kuvuka mstari wa kati tu imekuwa ni nadra.

Mpaka sasa Yanga wanaonesha heshima kwa mpinzani kwa kujaribu kucheza kwa kuzuia ili waweze kupata chansi ya kufika matuta.
 
Back
Top Bottom