GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Wababaishaji hao muda tu wataliaNi plan inayoonekana kufanya kazi, inaweza kuwavusha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wababaishaji hao muda tu wataliaNi plan inayoonekana kufanya kazi, inaweza kuwavusha.
Mpo fit kwenye kulewa na kutukana Ila CAFCL haipo kwa walevi na watukanaji, siku mkiacha ulevi na kutukana mtasonga mbele.Wewe mpaka sasa ushakalia kidude kula daku ushibe ugongwe tena.
Subiri kipindi cha Pili umeona Shots on TargetsIla ngapi ngapi hadi sasa?
sawaTulia dawa ikuingie rafu fc
Hapati mpira afanyeje sasa? Ila hapa mwishoni ameonesha uhai, mchezaji mkubwa ni mkubwa tu.Aziz leo mzitooo sijui kawaje
Yanga wako vizuriMpira ndo nimeangalia,Nasubiri kipindi cha pili
Naona mnatutia AIBU TU HAPA
Ni siku zote Mkuu.Ila bacca leo anatuokoa haswa...yy pamoja na diara
Domo lileHapati mpira afanyeje sasa? Ila hapa mwishoni ameonesha uhai, mchezaji mkubwa ni mkubwa tu.
Mkuu, huoni nafasi ya Yanga kupita either kwa kufika matuta au droo ya 1-1? Naona kama sundowns wameishiwa mbinu ni Yanga tu kufanya counter positive.Mpira ndo nimeangalia,Nasubiri kipindi cha pili
Naona mnatutia AIBU TU HAPA
Wako vizuri kwenye Nini Mkuu?Yanga wako vizuri
Kwa Draw hapo sawaMkuu, huoni nafasi ya Yanga kupita either kwa matuta au droo ya 1-1? Naona kama sundowns wameishiwa mbinu ni Yanga tu kufanya counter positive.
TacticWako vizuri kwenye Nini Mkuu?
wako vizuri kama dakika 45 zote wamegusa mpira mara 93..
Maana yake kila Dakika moja wamegusa mpira mara 2 tu ..
Ndo mipango ya Yanga. Either wafike penati au washinde kwa counter au droo yoyote. Pos wamewaachia.Kwa Draw hapo sawa