United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ile unaiita nafasi ya dhahabu [emoji1787][emoji23] haki ya mungu leo kazi ipo
Aziz leo mzitooo sijui kawajeKwa mpira wa leo ile ni nafasi ya dhahabu, alitakiwa tu kutoa assist kwa Aziz Ki pale amalize shughuli.
Wewe mpaka sasa ushakalia kidude kula daku ushibe ugongwe tena.Washambuliaji wa 🐸🐸ni butu sana, na kwa ubutu wao hawawezi kumfunga Williams
Hii mechi yanga anapita MkuuHii mechi inaanza kunipa mashaka
MbumbumbuTimu inashindwa kupigiana hata pasi 3 kwa usahihi ajabu kabisa
Tangu lini walevi wakashambulia?Naona huu ndio plan yao
Maana hatuoni wakifanya mashambulizi
Kivipi mkuu?Hii mechi inaanza kunipa mashaka
Kama wakikaza wanapitaHii mechi yanga anapita Mkuu
Au muwaazime BokoYaan sijuagi kwann shalulile anaanza, afu maseko anabaki nje, akati huyu ni hatarii sanaa.
Jamani kocha amtoe shalulile, aingie Maseko, eboooh.
Yanga anaweza kupita hapaKivipi mkuu?
Huyu anaenda kupugwaKocha wa MAMELOD SUNDOWN naona Kama Hana Raha pia WASIWASI MWINGI SANAA
SureKama wakikaza wanapita
Ile ngumu sana,labda angejaribu kupiga shuti kuelekea golini.Kwa mpira wa leo ile ni nafasi ya dhahabu, alitakiwa tu kutoa assist kwa Aziz Ki pale amalize shughuli.
Hakuna goli la rahisi kihivyo hamchezi na JKU hapoKwa mpira wa leo ile ni nafasi ya dhahabu, alitakiwa tu kutoa assist kwa Aziz Ki pale amalize shughuli.