Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Pacome na Yao, watakuwepo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utopwinyo atakandwa na masandawana 3:1 tena hapo kajikaza kweli kupata fauli la peneltiKila mtu apambane na hali yake.
Makolokwinyo baada ya kuona hamuna nafasi ya kuendelea mumeamua kuomba tukose wote, lakini hilo halipo.
Simba anapasuka vizuri tu, huko wananchi tukielekea nusu fainali.
watakwepo na ndo watafungwa vizuriPacome na Yao, watakuwepo?
Na isipokua hivyo tukufanye nini mkuu?Huu ndio utabiri wangu baada ya kupata hisia fulani muda huu. Mamelodi anaweza kusawazisha dakika za majeruhi ila hawezi kupata goli zaidi ya moja na Yanga atakuwa amevuka.
Kwa maana hiyo, Yanga atashinda moja bila kuanzia dakika ya 80 au watatoka sare ya moja moja na hivyo ndivyo ambavyo Yanga watafuzu leo hii.
Mechi itakuwa ngumu sana na timu zote zitapoteza nafasi nyingi kutokana na pressure ya mchezo.
Muda utaongea.
kuna milioni moja ya kina dickson jobMilioni 220 zinatosha tu yaani 2-0.
Safari ndefu sana ya bus 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yan Yanga apewe odd ya 12+ afungwe goal mbili tuu. Hii ngoma ni 6 na kuendelea.Ahly 2-1 Simba
Mamelod 2-0 Yanga
Honger mkuu kwa ndoto nyevu. Amka ukaogeYanga anashinda 1 - 0
kila la kheri Yanga AfricaView attachment 2954053
2nd Leg Match
CAF CHAMPION LEAGUE
QUARTER FINAL.
Mamelodi Sundowns vs Yanga Sc
Time: 9:00Pm
Stadium: Loftus Versfeld Stadium
View attachment 2954393
View attachment 2954394
More Updates following...