cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23]Always front, huge wooden cooking spoon back.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Always front, huge wooden cooking spoon back.
Habib Habib thalanta bin thiful leo
MAMELOD kandamiza misumar ya Moto
UBUNTU BOTHO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅 Acha fujoHuna bahati
Sina hiyo tabia😅😅😅 Acha fujo
[emoji850]YANGA NUSU FAINALI HII HAPA
Tukapigane hadi dakika ya mwisho
Disco toto linaanza lazima tujadiliWana5imba hili jambo liliwacost hamjifunzi, uzi wenu upo kule badala mkatiane mioyo mmekuja kushabikia mamelody kama kawaida.......
View attachment 2954216
View attachment 2954217
Hivi unajua kwamba yule jamaa alikuwepo siku ile lakin hakuwa na madhara?UTO akipata hata shot on target mnipige ban la mwaka
UBUNTU BOTHO
Mimi ni simba damu! Ila kwa leo nawatakiwa Wananchi Yanga 💚💛 ushindi ili wasonge mbele mpaka fainali. Sisi miaka yote huwa tunaishia robo fainali. Na leo ndiyo tunahitimisha safari yetu ya robo fainali.View attachment 2954053
2nd Leg Match
CAF CHAMPION LEAGUE
QUARTER FINAL.
Mamelodi Sundowns vs Yanga Sc
Time: 900Pm
Stadium: Loftus Versfeld Stadium
More Updates following...
Wewe ni chura mzeeMimi ni simba damu!
Nusu fainali ya CAF kwenu ni ngumu kidogo.Mimi baada ya kumuona Aucho tu imani imerejea.
Mungu Mkubwa, tukutane nusu fainali Insha’Allah!
Mnakimbiaga nyie...Towards the Semi Final...!💚💛🤸♀️
Kama naona hatari kwanini nisikimbie akati miguu ninayo!!🤣Mnakimbiaga nyie...
Kila la kweri chama langu la urithi kutoka kwa baba na mama, Yanga.View attachment 2954053
2nd Leg Match
CAF CHAMPION LEAGUE
QUARTER FINAL.
Mamelodi Sundowns vs Yanga Sc
Time: 900Pm
Stadium: Loftus Versfeld Stadium
More Updates following...
Tupo pamojaKila la kweri chama langu la urithi kutoka kwa baba na mama, Yanga.
Kila mtu apambane na hali yake.Hatimaye siku ya kulia kulwa na doto imefika
Kuna mbumbumbu watabisha.Hakika hii Derby ya SADC...