FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Yanga ikifungwa litakuwa bao moja tu, ila mamemoldi wakifungwa yataweza kufika hata manne. Hii inatokana na style za uchezaji wao. Mamelodi wakifunga watakwenda kujilinda zaidi na kupunguza mashambulizi; kwa upandce wmingine Mamemlodi ikifungwa basi watafunduka ili kushambulia lango la Yanga na hivyo kuwapa Yanga mwanya wa kushambulia kwa kushtukia zaidi kwani Yanga wako vizuri sana kwa upande wa mashambulizi ya kushtukiza na ndiyo huwsapa mabao mengi sana. waulize Simba wanajua muziki wa Yanga kwenye mabao ya kushitukiza
Watajisahaulisha hapa makolo
 
Hii picha imepigwa baadaeView attachment 2954054
Sawa mtani wangu
20240402_173920.jpg
 
yanga aki qualify natoa number ya mke wangu na mchepuko yangu miwili. no jokes . am so confident of the end road. nitapost dm nikigawa number hizo. if it happens. mpira auna siasa. wa bongo acheni siasa. [emoji706]
Nitakuwa kuwa wa kwanza kumla ma msapo wako kikubwa awe pis kali tu.
 
Back
Top Bottom