uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Bonyeza * kuendelea na hivi vichekeshoBye bye mamelod tutakushona 2 kavu hapo hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bonyeza * kuendelea na hivi vichekeshoBye bye mamelod tutakushona 2 kavu hapo hapo
Kono anapigwa churaMiemko Hapana.
Inabidi waende na beat ya kucheza kwa mahesabu kujilinda kidogo then unashambulia kidogo.
La sivyo tujiandae kwa mafuriko.
🤣Hatimaye siku ya kulia kulwa na doto imefika
Nimeipenda hiiBonyeza * kuendelea na hivi vichekesho
Tumewaacha mbali sana KijanaAloo kumbe Nyuma Mwiko nao leo wana mechi?
View attachment 2954045
Daima mbele Nyuma mwikoAlways forward back never ever!
Acha wivu mkuuNitawaumbua
Wewe Leo kwani haucheziAloo kumbe Nyuma Mwiko nao leo wana mechi?
View attachment 2954045
Nchi yetu leo itakuwa na furaha kubwa sana.Kila la kheri Yanga SC 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 kesho inshallah nusu fainali lazima twende wananchi 💚💚💚💚💚