Ulitakaje? Hiyo ndiyo faida ya kucheza nyumbani
Poleeee na uendee kulala, tutolee gubu zako hapa.Basi hapo Masandakolozdad wanashangiliaje?
Ngoja nihame uzi[emoji18]
We unafikiri Yule Caren Simba Mchezo Mzigo umejaa ye anajua anaukomoa kumbe anajikomoa 🤣🤣 🤣Wamewamaliza nguvu wachezaji 🤣🤣🤣🤣
Acha kupenda ngono, mpokee Yesu awe bwana na mwokozi wako.umeninisimua. we lamomy hupendi kweli? ukaribie nikupoze machungu na mjegeje wa kimeru
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee acha madogo wananicheka hapa live, yani wanacheka balaa. Wanasema sister pole [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekasirika kweli
🤣🤣🤣🤣 nakuja kwenye uzi wenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] napumua sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afadhali maana kelele za vyura zilikuwa nyingi sana.....tunaweka rekodi sawa....mpaka hivi sasa taifa linawakilishwa na mnyama na sio utopolo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna comment yako juu huko ulisema mapema..
[emoji2][emoji3][emoji3][emoji3]Hawakufanya mazoezi ya penalty? Futseke...
All in all, hongereni wananchi.
HahahaPoleeee na uendee kulala, tutolee gubu zako hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamna caren Simba kachangia na mitako yake 🤣🤣🤣🤣Penati ni bahati tu
Kwa Uto hii Simba ijipange.fact.Uto wangetoboa hapa walikua wanafika final.
uje unisaidie nimpokee peke yangu sitawezaAcha kupenda ngono, mpokee Yesu awe bwana na mwokozi wako.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Muwe mnapiga na mazoezi ya penalti kenge nyie
Watu wanalaumu Yanga bureHaswaaaa.