Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Pole mkuu mi mwenyewe nmenywea sana, nimeumia sana kukataliwa lile goli la azizi kiMwili umekufa ganzi kwa haya matokeo ila ndio hivyo hakuna namna, Najikaza kiume maisha lazima yaendelee[emoji1666]Asanteni Yanga[emoji120]
mwenzenu alishaweka kibunda πmaneno HUUMBA.wana yanga wenzangu msimtafute mchawi
Wametukatilikufa kiume ππ
die like man teh teh teh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gamondi be like" Kuna mishe nasikilizia" .mishe yenyewe ni penalty[emoji81][emoji81]
goli mmeonewa kweli nakubali.Haikuhitaji hata VAR, hili lilikua goli ....πππ
Washenzi sana hao na refa waoWenzenu walituma na ya kutolea.[emoji1]
[emoji28]Leo mmeelewa sasa MkuuSasa naelewa maumivu ya kufa kiume aise
Ni mrefu sana.Linadaka hilo lihunii balaaa.
Refa ndio mvhxdfhhjj kaniboa nkamu π€£π€£π€£Kiboko yake ni Nigeria
Antena zake hazikufua dafu
Alikuwa mweupe kama sembe[emoji16]
Cape Verde lilidaka penati zao karibia zote halafu watu wanakuja kuwalaumu Yanga..
Hata angekuwa fundi gani wa kupiga,bado lingedaka.
Sasahivi kilichobaki ni mitusi kwa huyo mwendawazimu wa kuitwa refarii.
ππππ sitolala nimekasirika kinoma, hawa we waache ntawatimua muda sio mrefuSikushauri ulewe sister kwani sio kitu cha kuoendeza mbeleza Mungu. Sasa wanacheka nini?
Wao huku kwa mkapa walituma vocha, badala ya muamala, sasa refa angelipaje kodi ya nyumba?Wenzenu walituma na ya kutolea.[emoji1]
oiiii,kafuge nyauuu uko mamelody kakukanda ata hujui ufanye nin
Kwao kama kwetuYule refa anakatwa na majini ya mayele[emoji706][emoji706]
Wee lala, meza na diclopar ili ulale vzuri.Mwili umekufa ganzi kwa haya matokeo ila ndio hivyo hakuna namna, Najikaza kiume maisha lazima yaendelee[emoji1666]Asanteni Yanga[emoji120]