FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

Mwili umekufa ganzi kwa haya matokeo ila ndio hivyo hakuna namna, Najikaza kiume maisha lazima yaendelee[emoji1666]Asanteni Yanga[emoji120]
Pole mkuu mi mwenyewe nmenywea sana, nimeumia sana kukataliwa lile goli la azizi ki
 
Refa ndio mvhxdfhhjj kaniboa nkamu 🀣🀣🀣
Ila refa huyu angechezesha zile mechi za kombe la mbuzi, mwisho wa mpira wahuni tungembeba tungezama naye ndichi… huku tunamwimbia haiya hiya kuolewa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Refa sijui katoka ubeligiji sijui wapi.......😏😏😏refa wa hapo dizonga
 
Mwili umekufa ganzi kwa haya matokeo ila ndio hivyo hakuna namna, Najikaza kiume maisha lazima yaendelee[emoji1666]Asanteni Yanga[emoji120]
Wee lala, meza na diclopar ili ulale vzuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…